VIEW OTHER SITES

Monday

NOMVETHE ATAWALA TUZO ZA ABSA

Mshambuliaji wa Moroka Swallows, Siyabonga Nomvethe amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu wa 2011/2012 kwenye ligi kuu Afrika ya Kusini zilizofanyika kwenye ukumbi wa Gold Reef City hapo jana.
Nomvethe mwenye miaka 34 pia alishawahi kutwaa tuzo hizo msimu wa 1999/2000 alipotwaa tuzo mbili za ligi kuu nchini Afrika Kusini.
Mbali na tuzo hizo Nomvethe amefanikiwa kutia kibindoni
jumla ya shilingi.

Absa mchezaji bora wa mwaka – R150 000
Siyabonga Nomvethe
*Absa mchezaji wa wachezaji wa msimu– R150 000
Siyabonga Nomvethe
*Absa mlinda mlango bora wa msimu – R50 000
Wayne Sandilands
*Absa Premiership Red Hot mchezaji chipukizi – R50 000
Ronwen Williams
*Absa Premiership kocha bora wa msimu – R75 000
Gordon Igesund
*Absa Premiership Absa-goli bora la msimu – R50 000
*Benni McCarthy
Absa Mfungaji bora –  R50 000
*Siyabonga Nomvethe
Nedbank- Mfungaji bora – R50 000
*David Radebe
Nedbank – Mchezaji wa Mashindano – R100 000
*Nyasha Mushekwi
Nedbank-Mchezaji chipukizi wa mashindano – R25 000
*Thabiso Nkoana
Telkom – Mchezaji bora wa mashindano – R200 000
*Benni McCarthy
MTN8 Mchezaji bora – R150 000
*Oupa Manyisa
Mwamuzi wa bora – R50 000
*Victor Hlungwani
Mwamuzi bora msaidizi – R40 000
*Zakhele Siwela - Winner

No comments:

Post a Comment