VIEW OTHER SITES

Wednesday

BAUP KUMRITHI DESCHAMPS MARSEILLE


Klabu ya Olympique Marseille ya Ufaransa imemtangaza kocha mpya wa klabu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Didier Deschamps hapo jana.
Kocha huyo, Elie Baup ametangazwa rasmi huku akisaini mkataba wa miaka miwili na miamba hiyo ya Ufaransa ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya 10 ya msimamo wa ligi kuu nchini humo.
Baup mwenye miaka 57 amejiunga na Marseille akitokea Girondins Bordeaux ambayo msimu wa 1999 aliisaidia kutwaa ubingwa wa Ufaransa lakini pia akiifundisha timu ya Aquitaine kuanzia 1998 hadi 2003.
Vilabu vingine amezifundisha St. Etiene, Toulouse na Nantes kwenye ligi ya nchini humo daraja la pili na amepata kuwa mchambuzi wa michezo kwenye vituo vya runinga nchini Ufaransa kwa miaka 3.
Deschamps ameondoka klabuni hapo jumatatu akiwa amebakiwa na mwaka mmoja kwenye mkataba wake.

WASIFU WA KOCHA MPYA WA YANGA

Tom Saintfiet
Personal information
Full name Tom Saintfiet
Date of birth 29 March 1973 (age 39)
Place of birth Mol, Belgium
Playing position Midfielder
Senior career*
Years Team Apps (Gls)

K.V.C. Westerlo

K.F.C. Lommel S.K.

K.F.C. Verbroedering Geel

Teams managed
1997-2001 Lower Belgian Divisions
2000 F.C. Satelitte Abidjan
2002-2003 B71 Sandur
2002-2003 Stormvogels Telstar
2003-2004 Al-Gharafa Sports Club
2004 Qatar U-17
2005-2006 BV Cloppenburg
2006-2007 FC Emmen (Technical Director)
2008 RoPS
2008-2010 Namibia
2010 Zimbabwe
2010-2011 Shabab Al-Ordon
2011 Ethiopia
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only. † Appearances (Goals).

UHISPANIA YAENDELEA KUSHIKA USUKANI KWA UBORA


04 Jul 2012
Kutolewa tena 08 Aug 2012


TimuAlama

1 Spain16910Equal
2 Germany15021Up
3 Uruguay1297-1Down
4 England12942Up
5 Portugal12135Up
6 Italy11926Up
7 Argentina10950Equal
8 Netherlands1079-4Down
9 Croatia1050-1Down
10 Denmark1017-1Down
11 Brazil1012-6Down
12 Greece10033Up
13 Russia9810Equal
14 France9800Equal
15 Chile961-4Down