VIEW OTHER SITES

Friday

ROLLINGSTON YAFIKIA UKINGONI


Timu ya Coastal Union ya chini ya miaka 17 itamenyana na Ecofoot ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),kwenye mchezo wa fainali ya mashindano ya Rollingston hapo kesho.

Coastal imetinga hatua hiyo baada ya kuwafunga mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Ruvu Shooting kwa mabao 2-1 nchini Burundi.

Mabao ya Coastal yakiwekwa kimiani na Mohamed Miraji, wakati bao la Ruvu likifungwa naye, Said Hussein.

Timu ya Ecofoot imetinga hatua kufuatia ushindi wao dhidi ya Mjini Magharibi ya Zanzibar wa mabao 2-1.

Mabao ya Ecofoot yalitiwa kimiani na Sais Kabamba na Shukuru Hamisi, wakati bao la kufutia machozi la Mjini Magharibi lilitiwa kimiani na Omar Tamim. Sasa, Mjini Magharibi itamenyana na Ruvu katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu na Coastal itamenyana na Ecofoot katika mechi ya kusaka bingwa mpya wa michuano hiyo kesho. 

RATIBA LIGI ZA BARANI AFRIKA


20 July 2012
Angola 2012
19:00
Benfica Luanda
v
Petro de Luanda
Calulo
CAF Champions League Groups
23:00
Esperance
v
ASO Chlef

Kenyan Premier League
19:00
Rangers
v
Mathare United
Nyayo
21 July 2012
Angola 2012
16:00
Onze Bravos
v
Interclube
Quintalao
16:00
Recreativo do Libolo
v
Atletico Do Namibe
Provincial da Huila
16:30
ASA
v
Nacional de Benguela
Nossa Senhora do Moute
16:30
Santos
v
Academica do Soyo
Municipal do Tafe
16:30
Sporting Cabinda
v
Sagarada Esperanca
Mundunduleno
18:00
1 de Agosto
v
Progresso
Jose Eduardo dos Santos
CAF Champions League Groups
23:00
ES Sahel
v
Sunshine Stars

Kenyan Premier League
15:00
Muhoroni Youth
v
Thika United
Muhoroni
15:00
SonySugar
v
Ulinzi Stars
Gusii
15:00
City Stars
v
Gor Mahia
City
15:00
AFC Leopards
v
Karuturi Sports
Mumias
15:00
Western Stima
v
Chemelil Sugar
Bukhungu
Mozambique 2012
15:30
Vilankulo
v
Liga Muculmana
Estadio do Costa do Sol