JINA: ROBIN NGALANDE
TAREHE YA KUZALIWA: NOVEMBA, 2, 1992.
TAIFA: MALAWI.
KLABU: ATLETICO DE MADRID, UHISPANIA (MKOPO)
NAFASI: MSHAMBULIAJI.
UREFU: 1.70 M (5ft7 in)
MWAKA TIMU
2009 CIVO UNITED,
MALAWI
2009 -2010 MAMELODI
SUNDOWNS, AFRIKA KUSINI.
2010 - ATLETICO DE
MADRID, UHISPANIA.
TIMU YA TAIFA
MWAKA TIMU MECHI
MAGOLI
2010 - MALAWI 1
0
Ngalande yupo chini ya Sport Agency kampuni ambayo pia ni wakala wa
Benni McCarthy, amecheza mechi moja ya kimataifa na timu ya Malawi “The Flames”
mnamo Julai,6, 2010 kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa nchi hiyo dhidi ya
Lesotho iliyopigwa uwanja wa Civo uliopo mji mkuu wa nchi hiyo, Lilongwe.
Mwaka 2010 alishiriki michuano ya vijana U-18 nchini Uhispania akiwa
na kikosi cha vijana cha Sondowns huku akifunga magoli mawili kwenye mechi
tatu, kabla ya kutolewa hatua ya robo fainali na Boca Junior ya Argentina.
Miongoni mwa vilabu vilivyowahi kumtaka kinda huyo wa Malawi ni
pamoja na Chelsea, Manchester City na Espanyol.