Kocha wa timu ya taifa ya Uganda ‘the
cranes’ raia wa Scotland, Sir Bobby Williamson ameteua kikosi kitakachoanza hii
leo kwenye mchezo wao na Angola mjini Luanda hapo kesho kikiongozwa na nyota
kama Denis Onyango na Andy Mwesigwa kwenye kundi J.
Kikosi kamili:
Denis Onyango; Simeon Masaba, Godfrey
Walusimbi, Andy Mwesigwa, Hassan Wasswa; Dan Wagaluka, Tonny Mawejje; Johnson
Bagoole, Mike Sserumaga, Martin Mutumba; Emmanuel Okwi.
Wachezaji wa akiba: Hamza Muwonge, Denis
Guma, Henry Kalungi, Habib Kavuma, Patrick Ochan, Moses Oloya, Fabian Kizito
Mfumo :4-2-3-1
Mara nne za mwisho kukutana kati ya Uganda
and Angola
04.09.2011 - Angola 2-0 Uganda
04.09.2010 – Uganda 3-0 Angola
23.06.2008 – Angola 0-0 Uganda
14.06.2008 – Uganda 3-1 Angola
No comments:
Post a Comment