VIEW OTHER SITES

Friday

MAZEMBE TAYARI KWA KLABU BINGWA

Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia Ya Kongo, imemuengia Nii Adgei kwenye kikosi chake kitakachoshiriki michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

Nyota huyo wa zamani wa klabu ya Asante Kotoko imeenguliwa huku kukiwa na maswali mengi juu ya uamuzi huo wa klabu yake, lakini pia miamba hiyo ya Kongo na Barani Afrika, imetangaza kikosi chenye nyota 26 kitakachoshiriki michuano ya Afrika mwaka huu huku 3 wakitokea nchini Ghana ambao ni Yaw Farimpong,Richad Kisi Boateng,Gladson Awako na Solomon Asante.


kikosi kamili cha Mazembe mwaka huu kinaundwa na

Goal Keeper
1 Robert Muteba Kidiaba




21 Aime Bakula




22 Ley Matampi




Defender
2 Joel Kimwaki




3 Jean Kasusula




4 Eric Nkulukuta




5 Francis Kasonde




7 Herve Ndonga




16 Stophila Sunzu




17 Hichani Himonde




20 Pamphile Mihayo




33 Patient Mwepu




Midfielder
14 Nathan Sinkala




18 Rainford Kalaba




19 Tresor Salakiaku




23 Tresor Ilunga Kayanda




24 Narcisse Amia Ekanga




25 Patrick Ochan




26 Patrick Ilongo




27 Isaac Kasongo




29 Yannick Tusilu




30 Guy Lusadisu




32 Serge Lofo




Striker
6 Deo Kanda




8 Tresor Mputu




9 Cheibane Traore




10 Given Singuluma




11 Luka Lungu




15 Aly Mbwana Samata




28 Thomas Ulimwengu




31 Eric Bokanga




No comments:

Post a Comment