VIEW OTHER SITES

Wednesday

METODO; MFUMO WA KIITALIANO ULIOHAMISHIWA BARCELONA NA GUARDIOLA

 
Mfumo huu ulioasisiwa na kocha wa timu ya taifa ya Italia, Vittorio Pozzo miaka ya 1930 ambapo mabeki wa kati wanasaidia viungo huku mabeki wa pembeni wakiwa na jukumu kubwa la kusaidia mashambulizi kutokea pembeni. Italia ilitumia mfumo huo kwenye kombe la dunia 1934 na 1938. Pia, Pep Guardiola alitumia mfumo huo akiwa na Barcelona ukiwa umeboreshwa zaidi.

  VITTORIO POZZO








 KIKOSI CHA ITALIA MWAKA 1934 KIKIWA UWANJANI KABLA YA KUWAKABILI JAMHURI YA CZECH KIKIONGOZWA NA NYOTA, Giuseppe De Meazza.

No comments:

Post a Comment