Mfumo huu ulioasisiwa na kocha wa timu
ya taifa ya Italia, Vittorio Pozzo miaka ya 1930 ambapo mabeki wa kati
wanasaidia viungo huku mabeki wa pembeni wakiwa na jukumu kubwa la kusaidia
mashambulizi kutokea pembeni. Italia ilitumia mfumo huo kwenye kombe la dunia
1934 na 1938. Pia, Pep Guardiola alitumia mfumo huo akiwa na Barcelona ukiwa
umeboreshwa zaidi.
VITTORIO POZZO
KIKOSI CHA ITALIA MWAKA 1934 KIKIWA UWANJANI KABLA YA KUWAKABILI
JAMHURI YA CZECH KIKIONGOZWA NA NYOTA, Giuseppe De Meazza.


No comments:
Post a Comment