VIEW OTHER SITES

Friday

ROLLINGSTON YAFIKIA UKINGONI


Timu ya Coastal Union ya chini ya miaka 17 itamenyana na Ecofoot ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),kwenye mchezo wa fainali ya mashindano ya Rollingston hapo kesho.

Coastal imetinga hatua hiyo baada ya kuwafunga mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Ruvu Shooting kwa mabao 2-1 nchini Burundi.

Mabao ya Coastal yakiwekwa kimiani na Mohamed Miraji, wakati bao la Ruvu likifungwa naye, Said Hussein.

Timu ya Ecofoot imetinga hatua kufuatia ushindi wao dhidi ya Mjini Magharibi ya Zanzibar wa mabao 2-1.

Mabao ya Ecofoot yalitiwa kimiani na Sais Kabamba na Shukuru Hamisi, wakati bao la kufutia machozi la Mjini Magharibi lilitiwa kimiani na Omar Tamim. Sasa, Mjini Magharibi itamenyana na Ruvu katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu na Coastal itamenyana na Ecofoot katika mechi ya kusaka bingwa mpya wa michuano hiyo kesho. 

RATIBA LIGI ZA BARANI AFRIKA


20 July 2012
Angola 2012
19:00
Benfica Luanda
v
Petro de Luanda
Calulo
CAF Champions League Groups
23:00
Esperance
v
ASO Chlef

Kenyan Premier League
19:00
Rangers
v
Mathare United
Nyayo
21 July 2012
Angola 2012
16:00
Onze Bravos
v
Interclube
Quintalao
16:00
Recreativo do Libolo
v
Atletico Do Namibe
Provincial da Huila
16:30
ASA
v
Nacional de Benguela
Nossa Senhora do Moute
16:30
Santos
v
Academica do Soyo
Municipal do Tafe
16:30
Sporting Cabinda
v
Sagarada Esperanca
Mundunduleno
18:00
1 de Agosto
v
Progresso
Jose Eduardo dos Santos
CAF Champions League Groups
23:00
ES Sahel
v
Sunshine Stars

Kenyan Premier League
15:00
Muhoroni Youth
v
Thika United
Muhoroni
15:00
SonySugar
v
Ulinzi Stars
Gusii
15:00
City Stars
v
Gor Mahia
City
15:00
AFC Leopards
v
Karuturi Sports
Mumias
15:00
Western Stima
v
Chemelil Sugar
Bukhungu
Mozambique 2012
15:30
Vilankulo
v
Liga Muculmana
Estadio do Costa do Sol

Wednesday

BAUP KUMRITHI DESCHAMPS MARSEILLE


Klabu ya Olympique Marseille ya Ufaransa imemtangaza kocha mpya wa klabu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Didier Deschamps hapo jana.
Kocha huyo, Elie Baup ametangazwa rasmi huku akisaini mkataba wa miaka miwili na miamba hiyo ya Ufaransa ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya 10 ya msimamo wa ligi kuu nchini humo.
Baup mwenye miaka 57 amejiunga na Marseille akitokea Girondins Bordeaux ambayo msimu wa 1999 aliisaidia kutwaa ubingwa wa Ufaransa lakini pia akiifundisha timu ya Aquitaine kuanzia 1998 hadi 2003.
Vilabu vingine amezifundisha St. Etiene, Toulouse na Nantes kwenye ligi ya nchini humo daraja la pili na amepata kuwa mchambuzi wa michezo kwenye vituo vya runinga nchini Ufaransa kwa miaka 3.
Deschamps ameondoka klabuni hapo jumatatu akiwa amebakiwa na mwaka mmoja kwenye mkataba wake.

WASIFU WA KOCHA MPYA WA YANGA

Tom Saintfiet
Personal information
Full name Tom Saintfiet
Date of birth 29 March 1973 (age 39)
Place of birth Mol, Belgium
Playing position Midfielder
Senior career*
Years Team Apps (Gls)

K.V.C. Westerlo

K.F.C. Lommel S.K.

K.F.C. Verbroedering Geel

Teams managed
1997-2001 Lower Belgian Divisions
2000 F.C. Satelitte Abidjan
2002-2003 B71 Sandur
2002-2003 Stormvogels Telstar
2003-2004 Al-Gharafa Sports Club
2004 Qatar U-17
2005-2006 BV Cloppenburg
2006-2007 FC Emmen (Technical Director)
2008 RoPS
2008-2010 Namibia
2010 Zimbabwe
2010-2011 Shabab Al-Ordon
2011 Ethiopia
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only. † Appearances (Goals).

UHISPANIA YAENDELEA KUSHIKA USUKANI KWA UBORA


04 Jul 2012
Kutolewa tena 08 Aug 2012


TimuAlama

1 Spain16910Equal
2 Germany15021Up
3 Uruguay1297-1Down
4 England12942Up
5 Portugal12135Up
6 Italy11926Up
7 Argentina10950Equal
8 Netherlands1079-4Down
9 Croatia1050-1Down
10 Denmark1017-1Down
11 Brazil1012-6Down
12 Greece10033Up
13 Russia9810Equal
14 France9800Equal
15 Chile961-4Down